Wezi waliojifanya kama afisa wa polisi Alhamisi waliripotiwa kuiba shilingi 72 milioni kutoka kwa wafanyikazi wa G4S jijini Nairobi.
Kulingana na ripoti, wezi hao pia walipora pesa kutoka kwa mashine ya ATM ya Benki ya Standard Chartered jijini Nairobi Magharibi.
THIEVES MASQUERADING as police officers steal Sh72 million from G4S personnel and an ATM belonging to Standard Chartered Bank in Nairobi West. pic.twitter.com/ed57ehSysx
— NationBreakingNews (@NationBreaking) September 5, 2019
Habari hiyo bado inatukujia kwenye chumba chetu na maelezo zaidi yatafuata..
πππwhen I saw those funny fire drills in the CBD, I knew something fishy was cooking.ππ.
THIEVES MASQUERADING as police officers steal Sh72 million from G4S personnel and an ATM belonging to Standard Chartered Bank in Nairobi West. https://t.co/oV2TknjSt4
— Francis Njenga (@FrancisNjenga) September 5, 2019
Hii sio mara ya kwanza pesa kupotea chini kwa namna ya sintofahamu kama hii.
Mnamo Aprili 2019, Benki ya Barclays ya Kenya ilipoteza pesa nyingi baada ya mashine zake nne za ATM kuvunjwa jijini Nairobi.