The Tanzanian Bongo Flava star Diamond Platinumz is becoming the unsung hero of Tanzania after he landed in Kahama in style on Tuesday for a mega eid Mubarak celebrations he has organized for the needy and less fortunate. His one one one mic event is meant to take place in Kahama and Geita.
This comes a few Days after one of his Wasafi artiste- Harmonize organized an Iftar at Serena Hotel Daresalaam where he performed with the Wasafi WCB crew and shared a meal with people.
Diamond took to social media and made it public that he will be performing at Kahama during the Eid Mubarak season, where he will share food with the less fortunate and all Muslim leaders from the 37 mosques.
Ndugu zangu wa KAHAMA!…Siku ya kesho Inshaallah Mtoto wenu nimeandaa Futari Maalum kwa ndugu zetu wasio na uwezo, Watoto yatima, Walemavu na Wajane… lakini pia tutakula pamoja Na Mashehe wetu wote toka kwenye Misikiti Yote 37 iliopo KAHAMA…Iftar hio itakuwa katika kiwanja cha KWA MUFTI Mtaa wa NYASUBI ambayo itaambatana na Mkono wa IDDI…. kwa tulio Mikoa ya Mbali tutaweza kutazama Live IFTAR hio Kupitia @wasafitv ๐๐ป
Now that the season is here with us, Diamond is currently at Kaham dispensing money like the ATM machine to his fans.
In a short video shared by Diamond on his Instagram page, The, Iyena hitmaker is seen raining cash notes on his fans while standing on his travel car. The fans are happily collecting the money while singing Diamonds recent song-The one.
Diamond captioned his video with these words;
Kikubwa sina, ila Kidogo sitoacha kula na wenzangu….Unapoona Msafara huu wa #OneManOneMic unapita ….usisite nawe kuja kupata mkono wa Eid toka kwangu๐๐ป
While Diamond thought he was doing the right thing, His fans came out criticizing the criteria he used to distribute the money.
Some comments.
Usitupe pesa namna hiyo dogo, tafuta namna nzuri ya kugawa pesa.
Sasa si bora ungewafanyia tu kitu wakabaki na kumbukumbu nacho na sio kuwarushia hela unawaumiza pia pengine pesa isifike ikiwa nzima ikawa kipande acheni kudharilisha wenzenu bana hiyo ni dharau
Km unawapa mkono wa Idi uungewapanga foleni hivyo watauAna
Bro huu sio utaratibu kwa kweli am your real fan but for this one cjapenda
Utafanya watu wauane ungewapanga foleni naungewapa mmoja mmoja