Dully Sykes reveals the other side of Harmonize

Image result for prince dully sykes

Tanzania singer Prince Dully Sykes has revealed one thing about his fellow Tanzania artiste Harmonize what most people hardly knew.

Harmonize is one of the best bongo artistes apart from singing his level of respect is on the next level.

During an interview, Prince Dully Sykes revealed that Harmonize always greats him with a lot of respect unlike other big artists.

@Harmonize_tz ana heshima sana, hata kunisalimia ananisalimia tofauti na wasanii wengine, huwa anainama ananishika miguu”
.
“Nampenda sana, hata hapo Jumatatu tuna shoot video”

“Harmonize ni msanii mkubwa sana, unadhani wasanii wangapi wanataka kufanya nae ngoma lakini ananipa Mimi heshima”
.
“Kuweka collabo zetu kwenye YouTube Channel yake ni Makubaliano yetu, anafanya vitu vingi sana”

The star also revealed that Nigeria super star Burna Boy wants a callobo with him.

“Nigeria, Burna Boy amamtafuta wafanye ngoma pamoja, akizungumza mwenye moja ya kipindi cha wasafifm Dully amesema “@burnaboygramananitafuta Anataka nifanye nae ngoma, alimwambia hata @Harmonize wakati walipokutana nae Nigeria”.


.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *