Rose Muhando discharged from hospital

Image may contain: 1 person, standing

Tanzanian gospel musician, Rose Muhando has been discharged from the hospital. She has been in Nairobi hospital where she had been admitted and has been under treatment.

The hospital where she has been had been kept a secret till her fellow musician, Anastacia Mukabwa revealed in an interview. She said; “Singependa nitokee kwa Media kwamba ni mimi naongea juu ya Rose. Kuna madaktari nilikuwa nimezungumza nao na wakaniambia kuwa mgonjwa akiwa katika hali ambayo Rose aliyokuwa nayo atakuavoid.

Kumpeleka hospitali haikuwa rahisi, mungu alinisadia maana Furaha yangu na lengo langu ilikuwa Rose afike hospitali. Lakini tulijaribu juu chini mpka nikamfikisha hospitalini. Najua hospitalini atasaidika.”

She also comented on the viral video of Rose being delivered from demons by Pstor Ng’ang‘a; “Hii video ikitoka , nilikuwa nimesha fanya juhudi nimempeleka hospitalini. Kwa hiyo hajui chochote kuhusu hiyo video. Ni sisi tu tunazungumza huku. Singependa sana kuongea, ningependa apone ili yeye mwenyewe aje kuzungumza ambacho Mungu ametenda.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *