Mahakama ya vyaka nchini siku ya Jumanne Mei 12 ilivunjilia mbali mkataba wa baada ya uchaguzi Kati ya chama Cha Jubilee na KANU.
Mahakama hiyo ilisema kwamba hatua hiyo ya rais Uhuru Kenyatta lazima upitie kwa kamati kuu ya kitaifa ya Jubilee na kwa utaratibu wa Uongozi wa vyama.
Habari zaidi kufuatia….