Bongo Star Alikiba Loses Two Signees Under His Record Label

Photo: Courtesy

King of Bongo Alikiba is counting his loss after two artists in his ‘Kingโ€™s Music Records’ signed out.

Days after setting social media ablaze with his newly released his latest single ‘Dodo’, this is certainly not good publicity for Alikiba.

See, over the years, record labels are increasingly becoming a modest way of chewing a bigger bite into East Africaโ€™s vibrant entertainment industry.

It is no doubt that artists affiliated with these labels often get a better platform and opportunities more hits than their counterparts.

Having a record label to work with has its pros and cons and whenever an artist feels the need to quit, thereย  should be room provided for them to act accordingly.

One of the two signees@officialkilly_tz who worked at Kings Music Records shared the news on his Instagram with a caption: “Naitwa Ally killy Omary almaarufu kama killy nikijulikana kama msanii wa @kingsmusicrecords,napenda kuwajulisha fans wangu watu wangu wote waliokuwa wakisupport mziki wangu na wanaoendelea kussuport kazi zangu na hata wasiosupport pia ni kwamba kuanzia leo hii napenda kutamka kuwa mimi sio tena msanii wa @kingsmusicrecords nimeamua hili kwa akili yangu timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu wa aina yeyote.”

View this post on Instagram

Naitwa Ally killy Omary almaarufu kama killy nikijulikana kama msanii wa @kingsmusicrecords……… napenda kuwajulisha fans wangu watu wangu wote waliokuwa wakisupport mziki wangu na wanaoendelea kussuport kazi zangu na hata wasiosupport pia ni kwamba kuanzia leo hii napenda kutamka kuwa mimi sio tena msanii wa @kingsmusicrecords nimeamua hili kwa akili yangu timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu wa aina yeyote ile na sijatumia kilevi chochote kile ni maamuzi yangu tu binafsi na ni kwa ajili ya muendelezo wa mziki wangu.Alikiba amekuwa ni mtu muhimu sana kwenye maisha yangu amekuwa ni mtu ambae amenionyesha njia na kuniaminisha mimi pamoja na mziki wangu mbele ya jamii Inshallah mwenyezi mungu amlipe kwa kila alichonifanyia na kujitolea kwa ajili ya mziki wangu namshkuru sana sana sana nasitoacha kumshkuru siku zote za maisha yangu naumia ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญila sina budi @officialalikiba nakupenda sana my brother nakupenda mnooo na unajua hilo,cha zaidi napenda nikushkuru kwa kunielewa nikiwa kama mdogo wako bado nahitaji baraka zako bado ntahitaji support kutoka kwako kwa namna moja ama nyingine ama kwa kile ambacho kitakuwa na umuhimu kuwa supported na ningeomba pia uniombee dua safari yangu iwe njema na yenye mafanikio popote pale ntakapokuwa as long as najua hatujaachana kwa ubaya na wala hatujawahi kuwa na ugomvi labda NO. Pia ningependa kuwashkuru waliokuwa wakisimamia kazi zangu ili ziweze kuwafkia kwa haraka mashabiki zangu na kuweza kufika kwa haraka kwenye media tofauti tofauti nazungumzia managers wangu @beingaidancharlie @suleshsulle @rehemavisuallab @esilovey1 nawapenda sana nashkuru sana kwa time yenu kwa yote mazuri mlioweza kunifanyia sitoweza kusahau nyakati zote tulizopitia bado nyinyi mtabaki kuwa watu muhimu kwenye career yangu.Love you all โค๏ธโค๏ธโค๏ธ asanteni sana ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ

A post shared by Killy (@officialkilly_tz) on

At the same time, @officialcheedwho was also signed at the label shared his message on the page giving his thanks to those who supported his work and Alikiba for steering him on.

“Napenda kuwajulisha fans wangu watu wangu wote wamba kuanzia leo hii napenda kutamka kuwa mimi sio tena msanii wa @kingsmusicrecords nimeamua hili kwa akili yangu timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu wa aina yeyote ile na sijatumia kilevi chochote kile ni maamuzi yangu tu binafsi na ni kwa ajili ya muendelezo wa mziki wangu.” Cheed wrote.

View this post on Instagram

Naitwa Rasheed almaarufu kama cheed nikijulikana kama msanii wa @kingsmusicrecords……… napenda kuwajulisha fans wangu watu wangu wote waliokuwa wakisupport mziki wangu na wanaoendelea kussuport kazi zangu na hata wasiosupport pia ni kwamba kuanzia leo hii napenda kutamka kuwa mimi sio tena msanii wa @kingsmusicrecords nimeamua hili kwa akili yangu timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu wa aina yeyote ile na sijatumia kilevi chochote kile ni maamuzi yangu tu binafsi na ni kwa ajili ya muendelezo wa mziki wangu.Alikiba amekuwa ni mtu muhimu sana kwenye maisha yangu amekuwa ni mtu ambae amenionyesha njia na kuniaminisha mimi pamoja na mziki wangu mbele ya jamii Inshallah mwenyezi mungu amlipe kwa kila alichonifanyia na kujitolea kwa ajili ya mziki wangu namshkuru sana sana sana nasitoacha kumshkuru siku zote za maisha yangu naumia ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญila sina budi @officialalikiba nakupenda sana my brother nakupenda mnooo na unajua hilo,cha zaidi napenda nikushkuru kwa kunielewa nikiwa kama mdogo wako bado nahitaji baraka zako bado ntahitaji support kutoka kwako kwa namna moja ama nyingine ama kwa kile ambacho kitakuwa na umuhimu kuwa supported na ningeomba pia uniombee dua safari yangu iwe njema na yenye mafanikio popote pale ntakapokuwa as long as najua hatujaachana kwa ubaya na wala hatujawahi kuwa na ugomvi labda NO. Pia ningependa kuwashkuru waliokuwa wakisimamia kazi zangu ili ziweze kuwafkia kwa haraka mashabiki zangu na kuweza kufika kwa haraka kwenye media tofauti tofauti nazungumzia managers wangu @beingaidancharlie @suleshsulle @rehemavisuallab @esilovey1 nawapenda sana nashkuru sana kwa time yenu kwa yote mazuri mlioweza kunifanyia sitoweza kusahau nyakati zote tulizopitia bado nyinyi mtabaki kuwa watu muhimu kwenye career yangu.Love you all โค๏ธโค๏ธโค๏ธ asanteni sana ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ

A post shared by ๐“ก ๐“ช ๐“ผ ๐“ฑ ๐“ฎ ๐“ฎ ๐“ญ (@officialcheed) on

They remained grateful to Ali Kiba for the opportunity he granted to them and for welcoming them to his platform.

As they signed out their message, they requested blessings from Alikiba to see them off in their new journey away from Kings Music Records.

The Kings Music Records came into existence in 2018ย  and had signed four artistes; it was launched by Alikiba who was following Diamondโ€™s footsteps.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *