Babu Owino aachiliwa Huru

Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino ameachiliwa huru.

Mahakama iliamuruu kwamba mbunge huyo alipe dhamana ya KSh 10 milioni ambazo zitatumika kwa matibabu ya masanii DJ Evolve ambaye mbunge huyo alimpiga risasi.

Aliamriwa kulipa pesa hizo vifungu vine huku malipo ya kwanza yakiwa kudhamini uhuru wake.

Vilevile ameonywa asitumie dawa zozote za kulevya ikiwemo pombe.

Familia ya DJ Evolve ilipinga kuachiliwa kwa mbunge huyo.

Babu Owino anapiganiwa na mawakili saba wakiwemo Cliff Ombeta na Dunstan Omari.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *