Gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko amekimbizwa hospitalini.
Sonko amepelekwa kwenye hospitali ya Kenya (KNH) baada ya kuugua kwenye gereza la Kamiti Maximum Prison usiku wa kuamkia leo.
Hakimu alikuwa amempatia kibali apate matibabu hapo jana.
Governor @MikeSonko moved from Kamiti prisons to KNH after falling sick last night; Magistrate had allowed him to seek medical attention
— Ali 'Mwamvita' Manzu (@Ali_Manzu) December 10, 2019
Maelezo zaidi kufuatia…