Jalang’o Reveals Why Nairobi Couples Stay Together Even After Breakup

Tokeo la picha la jalang'o radio show

Milele FM presenter cum comedian Jalang’o has never ceased to amaze fans with his creative ways of addressing day to day challenges facing common mwananchi.

Jalas, who was making fun of some Nairobi couples, narrated how harsh Kenya economy has promoted toxic relationships.

Speaking duringĀ  Milele FM breakfast show, Jalas explained to his co-host Alex Mwakideu how rent in Nairobi has made couples stay together even after a messy break-up.

“Nilikuwa napitia pitia tu nikapata kwamba watu waliachana kitambo lakini rent inafanya waishi tu pamoja , hii Nairobi rent ni mbaya. so mumekosana na girlfriend yani relationship yenu imeishi na yeyendio alikuwa analipa rent ama msichana chali yake ndio alikuwa analipa rent, uakwama tu na yeye kwa sababu ya rent”he revealed.

He went on to explain how rent got many people living together in relationships that ended a long time ago especially men who depend on their rich ladies.

Picha inayohusiana

“Wanaume wenye warembo anawalipia rent wananyenyekea vibaya, you have to learn humility, and both virtue, gifts and fruits of the holy spirits until you are stable to live alone, Imagine mwanamume ako kwa sink anasugua sufuria, mama mboga anakujua Kwa sababu wewe ndio unnapika” he laughed out.

According to the host, men are now being forced to do unexpected things in order to be accommodated by their girlfriends.

“Kama girlfriend yako anafanya kazi okwa supermarket anarudi amechoka kwa sababu amesimama the whole day wewe uko pale unajiforce hizi kazi za massage ndio girlfriend afurahi.” he said.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *