Rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe ameaga dunia.
ZimLive wanaripoti kifo cha Mugabe ambaye aliongoza nchi hiyo kwa muda mrefu kutoka 1980 hadi 2017.
Hii ilifuatiwa na risala za rambirambi kwa waziri mkuu wa zamani na rais, ambaye inasemekana aliaga katika hospitali ya Singapore baada ya kupigania afya.
Breaking News: Former Zimbabwean President Robert Mugabe has died at the age of 95. More details to follow. #RIPMugabe pic.twitter.com/8t0INSIqvY
— SABC News Online (@SABCNewsOnline) September 6, 2019
Mugabe amefariki akiwa na miaka 95 na viongozi kote duiani na wakaazi wa nchi yake wanamuomboleza.
President Robert Mugabe was a greatest leader, He stood against the imperialist forces of UK & USA after the UK failed to honor its Lancaster House agreement. his anti-imperialist kinda leadership makes him a bad person cos imperialists own this world. #RiPRobertMugabe #RiPMugabe
— Man's Not Barry Roux (@AdvBarryRoux) September 6, 2019
Habari zaidi kufuatia….