Chansela wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara Profesa Mary Walingo hatimaye amejibu ufichuzi wa uwizi mkubwa katika Taasisi hiyo.
Walingo ambaye alielezwa kama ‘Ng’ombe kubwa’ katika uchunguzi wa runinga ya Citizen iliyoitwa ‘Mara Heist’, siku ya Jumapili alikanusha madai wa kuwa katikati mwa ufisadi wa chuo hicho.
On 30th of August 2019, Spencer, Stanley Yiaile, Dr. Anthony and ‘John’ bundled up all the evidence they have been collecting since 2016 and have formally reported this chain of graft to the DCI#TheMaraHeist pic.twitter.com/nU5zDA3Kxl
— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) September 1, 2019
Badala yake, Walingo anatoa sifa kwa Citizen TV akidai kuwa amekuwa akipigania kwa muda mrefu kuwachana watu wanyonge ambao huiba hatma ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara.
“Ningependa kuchukua nafasi hii kuwashukuru Citizen TV kwa kuangazia wizi ambao umekithiri katika Chuo Kikuu cha Maasai Mara. Inanisaidia katika uchunguzi ambayo nimekuwa niking’ang’ana nayo kwa muda sasa. Uporaji huu usiofaa wa wizi sio tu kuiba hatma ya watoto wetu lakini pia huathiri ukuaji wa taasisi yetu, “alisema.
With all these allegations and the damning evidence, we wanted to hear from Professor Walingo, her driver Noor and the finance officer Mr. Okumu.
Immediately after our phone calls to the three, Spencer was summoned to the vice chancellor’s office #TheMaraHeist pic.twitter.com/Ri74wA4rZX
— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) September 1, 2019
Walingo anaendelea kudai kwamba mtu yeyote aliyehusika na tukio la Mara Heist anapaswa kuwa tayari kukabiliana na sheria kamili.
I would like to take this chance to thank @citizentvkenya for highlighting damning heist at the Maasai Mara University. ~ VC Prof. Mary Walingo.#maraglory#maraheist#maasaimarauniversity pic.twitter.com/N1Ecam1ufs
— Gor Ogutu🇰🇪 (@IAmOgutu) August 31, 2019