Gavana wa Bomet Joyce Laboso aaga dunia

Image result for joyce laboso sickness

Gavana wa Bomet Joyce Laboso ameaga dunia.

Gavana amekuwa akipokea matibabu katika ICU jijini Nairobi baada ya kupambana na saratani.

Madaktari walikuwa wamezuia watu kumtembelea mkuu wa kaunti.

Maelezo zaidi kufuata….

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *