Mr. Seed afuata nyayo za Uhuru kwa kujiondoa mtandaoni baada ya kashfa za ngono

Related image

Msanii wa Injili Mr. Seed amejiondoa kwa mtandao wa kijamii.

Baba wa mmoja amejiondoa kwa mtandao siku moja baada kushtumiwa kufanya mapenzi nje ya ndoa na mwanadada mmoja.

Mwanadada huyo alitoa madai kuwa Mr. Seed alimlazimisha kufanya ngono naye jambo ambalo limewashangaza wengi.

Image result for mr seed

Itakumbukwa kuwa Mr. Seed alijing’atua kwenye studio ya kurekodi mziki wa EMB kwa madai ya unyanyasaji kutoka kwa bosi wake wa zamani Bahati Kenya.

Baada ya kutunga nyimbo ya Upo mwezi jana, ambapo aliangazia suala nyingi hadi ya kujitia kitanzi miongoni mwa masahibu aliyoyapitia, inaoenekana masihara bado yanamwandama.

Related image

Kashfa nyingi zimeripotiwa kutoka sekta ya injili na inauma sana kuona nchi ikienda kuzama kwa uozo wa jamii na vijana kwa jumla.

Hata hivyo, sidhani kutoa ukurasa wa Instagramu ilikuwa murwa kwa Mr. Seed badala ya kuiangalia suala yenyewe ana kwa ana.

Kutoka skendo hii, inaonekana msanii Bahati atakuwa kwa kicheko baada ya kukuwa na tofauti na Mr. Seed kwa muda na kwamba amekuwa akisema ‘vijana hao’ anawadai zaidi ya shilingi milioni sita.

Hii mkondo aeichukua ni ile ile ilichukuliwa na rais Uhuru Kenyatta baada ya Wakenya kumsuta na masuala zinazosumbua kama wananchi.

Image result for uhuru kenyatta

Rais Uhuru kwa sasa amejiondoa kwa mitandao zote na kwa mtandao wa Twitter alikuwa rais mwenye wafuasi wengi kote Africa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *