Harmonize’s emotional birthday message to his director

Image may contain: 1 person, sunglasses and outdoor

The Kwangwaru hitmaker, Harmonize, has appreciated his director and Zoom Production founder, Jose Wamipango. He shared a very overwhelming message on how Jose helped him before he rose to fame as he celebrated his birthday.

He said; “HAPPY BIRTHDAY MY GEE, Jose Wamipango nikupe stori fupi kuhusu huyu mwana Nilikutana nae miaka (9) iliyopita mtaani wakati nafanya mishezangu zakutafuta tobo…!!!

Nikati ya wanangu ambao waliniambia Unaweza mwanangu akawa yupo bega kwa bega namimi familia yao ilikuwa haiko vibaya Sana….!!! Kwenye mambo ya mitonyo walikuwa wanaishi Ilala Bungoni wakati naishi Temeke A.B.C

Nikawa nikitoka zangu Mabibo kwa Mazuu na studio nyengine napita kwa mwanangu nachukua nauli ya daladala Dem wake ananipikia chakula Mudamwingine nalala hapohapo kwake kiukweli alikuwa kama nguzo yangu kwa kipindi hicho kanisaidia mambo Mengi sanaa…!!!!

Image may contain: 1 person

Nakunivumilia Mapungufu hasa shida nilizokuwaga nazo muda huwo….!!! Basi hata Mungu aliponionyesha njia ya vijimafanikio nikasema kama ulikuwa nguzo yangu nikiwa sina basi sitohofia kukufanya nguzo yangu leo….!!!!

Now ndio msimamizi mkuu wa Zoom production hata wazo lakuianzisha Zoom production yeye ndio kajanalo LOVE YOU BRODA 4 LIFE Jose Wamipango. ENJOY YOUR DAY NAZANI WAKATI WAKUPANDA BAJAJI UMEISHA NOW WACHA NIRUDI BABA.”

 

View this post on Instagram

 

HAPPY BIRTHDAY MY GEE 🖤🖤🖤 #JOSEWAMIPANGO nikupe stori fupi kuhusu huyu mwana Nilikutana nae miaka (9) iliyopita mtaani wakati nafanya mishezangu zakutafuta tobo…!!! Nikati ya wanangu ambao waliniambia Unaweza mwanangu akawa yupo bega kwa bega namimi familia yao ilikuwa haiko vibaya Sana….!!! Kwenye mambo ya mitonyo walikuwa wanaishi #IlalaBungoni wakati naishi Temeke A.B.C nikawa nikitoka zangu Mabibo kwa Mazuu na studio nyengine napita kwa mwanangu nachukua nauli ya daladala Dem wake ananipikia chakula Mudamwingine nalala hapohapo kwake kiukweli alikuwa kama nguzo yangu kwa kipindi hicho kanisaidia mambo Mengi sanaa…!!!! Nakunivumilia Mapungufu hasa shida nilizokuwaga nazo muda huwo….!!! Basi hata Mungu aliponionyesha njia ya vijimafanikio nikasema kama ulikuwa nguzo yangu nikiwa sina basi sitohofia kukufanya nguzo yangu leo….!!!! Now ndio msimamizi mkuu wa @zoom_production_ hata wazo lakuianzisha @zoom_production_ yeye ndio kajanalo LOVE YOU BRODA 4 LIFE @jose_wamipango 🖤 ENJOY YOUR DAY NAZANI WAKATI WAKUPANDA BAJAJI UMEISHA NOW WACHA NIRUDI BABA 🚘

A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz) on

Harmonize was born in Mtwara, Tanzania in a family of four. In 2015, he was signed under the music label wasafi Classic Baby(WCB) Wasafi Records, which is under Diamond Platnumz leadership. They have all been getting their music directed under Jose Wamipango, Zoom production.

Before Harmonize rose to fame, he was in love with music and had recorded more than ten songs. Though he was pushing his music to the public through local stations and DJ’s, he needed a mentor who could skyrocket his talent to the world.

Image may contain: 3 people, people standing and suit

That’s when he looked for Diamond’s number and kept sending him songs he had done. The conversions between Harmonize and Diamond continued for months until it reached a point where Diamond Platnumz agreed to sign him. This was a dream to the young man who was working as a hawker at the streets of kariakoo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *