“Hamisa deserves Diamond’s child support more than Zari”: Here is why

Hamisa Mobetto’s friend Mange Kimambi says that Hamisa Mobetto should be the only woman who deserves to complain about child support and not Zari.

This comes after Zari claimed that  Diamond does not give any financial, emotional or physical support in the upbringing of his children.

Mange Kimambi gave  her reasons saying that Diamond provides shelter for Zari as well as her children and that should be enough financial support since they do not have the burden of paying rent.

She also went further to say that Zari has been having all the fun with her new lover in Diamond’s house yet she has the guts to raise complaints.

Hamisa’s friend advised Zari to remain silent before Diamond drops another bombshell about her.

Kimambi claims that there is a possibility that  Diamond and Zari’s second born child might not be Diamond’s son since throughout last nights interview he did not acknowledge or speak about him more than he did with their daughter Tiffah.

Here is her full message

The only woman anaeweza kulalamika Child support ni Hamisa peke yake sabbau haishi kwenye nyumba ya Dai na halipiwi kodi. Ila wewe Zari, Diamond is providing shelter for you and your children that are not even his. That’s financial support. Hayo mengine ya kuwaona wanae sawa, hapo inabidi tumteteee kwa kweli, unaishi kwenye nyumba ya mwanaume na matoto yasiyo yake na bwanako anakuja kukutomb*** hapo hapo na bado unalalamika hakusaidiii financially?? Hizo ni pumba!!
.
.
Ila Zari mi naona ukae kimya kwa kweli maana Dai interview karibia yote haja mu acknowledge Nillan kama mtoto wake ni Tiffah tuuu. Sasa asije akaropoka na mengine ukapata aibu ya karne. Nakushauri kitulize maana mnapoelekea ni Dai atamwaga mpaka ubuyu wa Nillan. Dai anamuongelea Tiffah peke yake 😳😳😳😳Yani ni mambo ni hatari fireeee 🔥🔥🤣😂

View this post on Instagram

Ila Zari jeuri sijapata ona 🤣🤣🤣Mwanaume mstaarabu anakupa msaada uishi kwenye nyumba yake na watoto hata sio wake na bwanako anakulala mastaili yote hapo hapo kwenye nyumba yake ila bado unajifanya mjanja kwenye social media? Kha!! . . Unaishi kwenye nyumba ya mwanaume na $2,000 juu anakupa kila mwezi ila bado tu unasema hakusaidiiii finacially? Basi ungezaa na Dangote mama kama unaona huo sio msaada? Tatizo kina Dangote hawazai na wanawake wa dizaini yako. . . Alafu King Bae unaedai ana yard ya magari si angeuza hata magari mawili akununulie nyumba uhame nyumba ya ex wako? maana unasimangwa publicly na ex na bado uko kwa nyumba tu? Alafu we ni bossylady ujue hutakiwi kusimangiwa nyumba? 😩And you have 4 other houses jamani🤣😂 Yani Kingbae anakubali ufanyiwe dharau kama hizi na huku yeye ni millionare ana magari dunia nzima na jumba lake ulituonyesha lipo tupu? Why doesn’t he take you? 🤣😂😂. Kweli Zari we ni kuwasimangiwa nyumba kweli wakati we ndo mwanamke tajiri S.A nzima🤣😂 jamani nakojooaaaaaaaaaa🤣🤣🤣😂😂 mwanamke fake yule sijapata ona 🤣🤣. Alafu hana aibu na masimango yote haya ya nyumba na bado kesho ataamka asubuhi namapema kupiga mapicha kwenye nyuma aposti insta 🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️ Haki Zari hayuko normal yule jamani. . . Yani leo Dai kaona kama noma na liwe noma tu kayamwaga😂🤣. Nawaambia hivi kuna siku Dai atafunguka mpaka kuhusu Nillan . . @diamondplatnumz So unatuma S.A $2,000 kila mwezi na nyumba juu umetoa msaada ila Dully hata laki 5 yako humpi? Why unabagua watoto? Sio mzima wewe, yule mganda ndo kiboko yako. Haki Zari peke yake ndo anaekuweza wewe, kina Hamisa unawaonea mnooo. Zari anakuchambaga kila siku na anakuonyeshea anavyolala na bwanake kwenye nyumba yako na bado unamtumia $2k kila mwezi. Hamisa yuko kimya hakudharau na humpi hata senti ya mtoto?? Mungu anakuona, machozi ya yule malaika-Dully yataendelea kukuwewesesha.... #Inafutwa

A post shared by Mange Kimambi (@mangekimambi_) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *