Gospel musician Bahati held a dinner party which was all about EMB Rebirth at KICC. In the party, he introduced Danny Gift as his new signee in EMB. Surprisingly, his former signee,
It is not clear whether they have resolved their issues since Weezdom had parted ways with Bahati during the EMB mass exodus.
Weezdom went on to say that Diana Marua made sure he left Bahati’s life but refused to divulge further into what happened or how she made sure he left; “Sikuwa na option ilifika mwisho ikakuwa lazima niende. Naweza sema nilishindwa kuendelea na kazi kwa sababu kuna mabadiliko ambayo yalikuja mwishowe na unajuamimi naheshimu sana Bahati kwa sababu yeye ndiye alinipata nikiwa down pale mtaani akaniinua.
Akanichukua kama kakake tumeishi nyumba moja kama miaka tatu. Lakini kuna mabadiliko yalitokea baadae nikafeel siwezi endelea. Naweza sema ni mtu ambaye anaitwa Diana Marua, yeye alihakikisha nimetoka. Sitaelezea Zaidi sababu nilimsamehea Bahati maanake Diana simjui sana.
Alifanya kakangu akabadilika kunihusu kikazi, kuishi, kiurafiki nikawa na mazingira magumu na nilikuwa msanii ambaye ninaanza kwa hivo nikaona badala ya kuleta mavurugano nikaona niende nje nijitume mungu afungue njia kama wengine.”