Wealthy and Wise!! WCB Harmonize Spends Millions as donation to the disabled

WCB Harmonize has today  spent his day with the disabled and taken goodies to appreciate them and show love.

The Singer met them with them in Mbagala and was accompanied to the event by his father and his Italian girlfriend Sarah.

Harmonize had said that this was intentional since he wanted them to be the first people to bless him before  he released any of his 2019 songs.

His team helped him distribute the goodies which included foodstuff, money and wheelchairs.

Harmonize said that this was part of giving back to the society and he got time to interact with his fans.

The WCB artist also encouraged the disabled telling them being different does not call for complaining but to thank God for his doing.

During this event, several leaders were in attendance and Harmonize got to bless and be blessed by his acts of kindness.

This is not the first time for the artists to stretch his hand to  the disabled.

 

Here is the full message  of how the event went down.

wasafitv

Kwa Kuikaribisha EP Yake Aliyopa Jina #AfroBongo … Star Kutoka label ya @wcb_wasafi , @harmonize_tz leo Alifanikiwa Kufika Maeneo ya Mbagala na Kutoa Msaada kwa watu wenye Uhitaji na walemavu wa Viungo ambao wamekuwa wa Kwanza Kuikaribisha na Kuibariki EP Hiyo

#Harmonize Ambae amefanya hivi kama sehemu ya kutoa sadaka, amesema kuwa, Binadamu Kuzaliwa Bila Kiungo Fulani ama kupoteza Kiungo wakati Ulikuwa Mzima ni Makusudi ya Mungu na Ana Kila sababu ya Wewe Kuwa Hivyo, ila sio wakati wa kulalamika na kukata tamaa ya Maisha kwamba Umenyimwa na haitowezekana tena kuishi

Katika Shughuli Hiyo ambayo Viongozi wa Kata na Mtaa Walihudhuria, Familia Akiwemo Baba Yake Mzazi, Mpenzi wake Pamoja na Timu yake ya Kazi, Ametoa Msaada wa Vitu Mbalimbali zikiwemo Baiskeli Kwa AJili ya Walemavu, Sabuni, Fedha, Vyakula na Vitu Vingine

Hii Si Mara yake ya Kwanza Kufanya Hivi, Lakini Hii Imekuwa Maalum Kwa Ajili ya Kuileta Rasmi #AfroBongo Ambayo ndani yake Kuna Mastaa Kama @diamondplatnumz Pamoja na @burnaboygram

 

View this post on Instagram

 

Kwa Kuikaribisha EP Yake Aliyopa Jina #AfroBongo … Star Kutoka label ya @wcb_wasafi , @harmonize_tz leo Alifanikiwa Kufika Maeneo ya Mbagala na Kutoa Msaada kwa watu wenye Uhitaji na walemavu wa Viungo ambao wamekuwa wa Kwanza Kuikaribisha na Kuibariki EP Hiyo #Harmonize Ambae amefanya hivi kama sehemu ya kutoa sadaka, amesema kuwa, Binadamu Kuzaliwa Bila Kiungo Fulani ama kupoteza Kiungo wakati Ulikuwa Mzima ni Makusudi ya Mungu na Ana Kila sababu ya Wewe Kuwa Hivyo, ila sio wakati wa kulalamika na kukata tamaa ya Maisha kwamba Umenyimwa na haitowezekana tena kuishi Katika Shughuli Hiyo ambayo Viongozi wa Kata na Mtaa Walihudhuria, Familia Akiwemo Baba Yake Mzazi, Mpenzi wake Pamoja na Timu yake ya Kazi, Ametoa Msaada wa Vitu Mbalimbali zikiwemo Baiskeli Kwa AJili ya Walemavu, Sabuni, Fedha, Vyakula na Vitu Vingine Hii Si Mara yake ya Kwanza Kufanya Hivi, Lakini Hii Imekuwa Maalum Kwa Ajili ya Kuileta Rasmi #AfroBongo Ambayo ndani yake Kuna Mastaa Kama @diamondplatnumz Pamoja na @burnaboygram #HAINAKUFELI #HUUNIMWAKAWAKO #HiiNiYetuSote #SanaaImezaliwaUpya

A post shared by Wasafi TV (@wasafitv) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *