VIDEO: Nandy responds to rumours that ‘a sponsor’ bought her a BMW

 

Tanzanian Artist Nandy has responded to claims that her  new BMW car was bought to her by a sponsor.

The Songstress rubbished the rumors saying that she bought her first car with her money and a second one is obviously not a problem.

The Singer last year also built a house as a gift  to her  parents and she says that she did not buy it but built it from scratch.

Nandy has been doing will in the music industry and has tremendous achievements in the music industry.

She is also among the top earning artists in Tanzania and has gone across borders to perform on grand  concerts alongside top artists in Africa.

The Singer on whether her parents used to support her when she spoke of joining the music industry; she says that initially they did not but later on they saw the fruits of it.

Here is her message after she bought her parents house.

 

View this post on Instagram

 

Mungu wangu na Baba yangu najua nakukosea sana kama binadamu na kama kijana ila nikipiga goti unajua namaanisha kutoka moyoni mwangu na unajua hakuna ninaye mtegemea zaidi yako… Asante kwakunipa uvumilivu, unyenyekevu, katika maisha yangu hasa kipindi hiki cha mwaka 2018!! Asante kwa hii zawadi ndogo ya wazazi wangu najua hii ni ndoto ya kila kijana mwenye kutafuta!!! Ni kila ndoto ya mwanadamu yoyote duniani kuona wazazi wake wako na furaha na ndiyo baraka zenyewe . Nashukuru media zote , blogs zote, ma producers wote, ma promoters wote, familia yangu ya THT, familia yangu ya clouds ,management yangu, Team yangu, marafiki zangu, Baba yangu wa kiroho Mtumishi MWAMPOSA , na mafans wangu wote ,bila kusahau na hatters wote kwa kunipa nguvuu na supports kwa namna moja au nyingine uwepo wenu ndio mafanikio yangu…….. Nili jipa nguvu kabla sijapewa Nilijipa moyo kabla sijapewa Nilijiamini kabla yakuaminika Nilijikubali kabla yakukubalika Popote ulipo kijana mwenye ndoto yoyote ile jua inawezekana ukiweka nia ukikubali mazuri na mabaya yote yakufikie sababu ni daraja na nguzo ya mafanikio yako bila kusahau MUNGU ndio kila kitu. Nawapenda HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE ? #DADAMWENYENYUMBA

A post shared by Nandy (@officialnandy) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *