Harmonize hints on his major 2019 ambition

Harmonize has recently hinted his major 2019  project on what seems like a plan to host one of his shows at the Tanzanian National Stadium.

Harmonize says that he believes that whatever he is upto will come to pass through the support of his fans and WCB family.

The artist shared messages of gratitude addressing his fans, the Wasafi family, Media and the Tanzanian government.

Back in 2018 there had been rumors that the singer was ready to part this the Wasafi and the speculations come in yet again.

However some have  linked the photo of the stadium to a mega concert that will take place this year.

Some of his fans imagine that he might be planning to construct a stadium similar to the national one.

Harmonize has left his fans in suspense since he did not touch on his big dream in depth.

Here is his full message

M Y D R E A M ..!!! 2 0 1 9 ?? (1) Kwanza kabisa nianze kuwashukuru Ndugu zangu Munaochukua muda wenu kunisupport katika Muziki amakwelii bila nyinyi pasingekuwa Harmonize umliyoyafanya ni makubwa Mno..!!! Kuliko hili la sikumoja naamini kupitia nyinyi tutaitimiza Ndoto hii (2) Media zote Nchini Amakwahakika tunajivunia uwepo wenu Asanteni kwakuwa bega kwa bega nasii naamini kupitia Nyinyi hili litawezekana…! (3) Nikwa Serikali yangu ya awamu ya 5 Chini ya Rais MHE, DR JOHN POMBE MAGUFULI Natambua kiasi gani inapambania sanaa yetu na kujivunia ukuwaji wa Muziki tanzania maana Muziki Umekuwa ukitufariji hata tunapofeli katika sekta nyingine kupitia waziri mwenye Dhamana ya sanaa Utamaduni na michezo Nchini MHE, DR @harrisonmwakyembe Hili litawezekana 100% (4) Kama naliona Baraza langu La Sanaa litakavo lisimamia hili swala maana ni maendeleo katika Tasnia ya Muziki na Umekuwa muda mwingi sanaa tukio la ainahii halijafanyika Naamini kupitia nyie walezi wetu hiliii litatimia @basata.tanzania ? (5 ) ni Mwenye kiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa Dar es salaam M.H. RC Makonda @baba_keagan Uwepo wako ni faraja ya vijana tunaojituma Wewe ni zawadi toka kwa Mungu ikapita mikononi mwa J.P.M. Mtetezi wa wanyonge…!!! Kupitia wewe halitoshindikana ? (6) Wasani wenzangu Tanzania na Njee hili swala ni letu sote.!! Kupitia nyinyi kaka zangu Dada zangu hili linawezekana…!! Mwisho ni Kwa Uongozi wangu #WCB Hakika nyinyi ni BABA & MAMA wa HII ndoto naamini kupitia Nyinyi haina kufeli….!!!!

 

View this post on Instagram

M Y D R E A M ..!!! 2 0 1 9 🌍🙏 (1) Kwanza kabisa nianze kuwashukuru Ndugu zangu Munaochukua muda wenu kunisupport katika Muziki amakwelii bila nyinyi pasingekuwa Harmonize umliyoyafanya ni makubwa Mno..!!! Kuliko hili la sikumoja naamini kupitia nyinyi tutaitimiza Ndoto hii (2) Media zote Nchini Amakwahakika tunajivunia uwepo wenu Asanteni kwakuwa bega kwa bega nasii naamini kupitia Nyinyi hili litawezekana…! (3) Nikwa Serikali yangu ya awamu ya 5 Chini ya Rais MHE, DR JOHN POMBE MAGUFULI Natambua kiasi gani inapambania sanaa yetu na kujivunia ukuwaji wa Muziki tanzania maana Muziki Umekuwa ukitufariji hata tunapofeli katika sekta nyingine kupitia waziri mwenye Dhamana ya sanaa Utamaduni na michezo Nchini MHE, DR @harrisonmwakyembe Hili litawezekana 100% (4) Kama naliona Baraza langu La Sanaa litakavo lisimamia hili swala maana ni maendeleo katika Tasnia ya Muziki na Umekuwa muda mwingi sanaa tukio la ainahii halijafanyika Naamini kupitia nyie walezi wetu hiliii litatimia @basata.tanzania 🙏 (5 ) ni Mwenye kiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa Dar es salaam M.H. RC Makonda @baba_keagan Uwepo wako ni faraja ya vijana tunaojituma Wewe ni zawadi toka kwa Mungu ikapita mikononi mwa J.P.M. Mtetezi wa wanyonge…!!! Kupitia wewe halitoshindikana 🙏 (6) Wasani wenzangu Tanzania na Njee hili swala ni letu sote.!! Kupitia nyinyi kaka zangu Dada zangu hili linawezekana…!! Mwisho ni Kwa Uongozi wangu #WCB Hakika nyinyi ni BABA & MAMA wa HII ndoto naamini kupitia Nyinyi haina kufeli….!!!! @mkubwafellatmk & @babutale & @diamondplatnumz & @sallam_sk & @ricardomomo & @kameboy_j #WCB4LIFE 🌍🙏 NDOTO YAMGU 2 0 1 9 MWEZI WA (4) TAREHE ITATANGAZWA RASMI…!!! SOON Kama unaamini hili linawezekana Basi tuseme #Amen #Ameen

A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *