Kenyan Rapper Henry Ohanga aka Octopizzo is once again on the spotlight and this time it is not for releasing another great music video or musical album, it is for murder.
The Oliel hitmaker is being accused of allegedly being responsible for the death of a 19 year old Strathmore University Student named Kenneth Ambom.
Ambom succumbed to his injuries yesterday (Saturday) after allegedly being attacked by Octopizzo using a Panga. He is then said to have jumped from the 4th floor from where he apparently got more serious injuries.
The incident has been reported to have happened at Woodley where Octopizzo stays.
Details of why Octopizzo attacked the 19 year old still remain scanty.
The rapper has since denied any wrong doing.
Tuhuma za mauaji sasa zinamwandama msanii wa muziki wa kufokafoka Henry Ohanga almaarufu Octoppizo. Hii ni baada ya familia moja eneo la Woodley anakoishi hapa jijini Nairobi kumtaja kama mshukiwa katika mauaji ya mvulana mmoja mwenye umri wa miaka 19 #KTNLeoWikendi pic.twitter.com/IxQOIJeJtW
— ktn (@KTNKenya) January 20, 2019
Kenneth Abom ambaye alikuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Strathmore alifariki siku ya Jumamosi kutokana na majeraha mabaya kutokana na kile kinachosemekana kuwa kushambuliwa kwa upanga na Octopizzo na kumlazimisha kuruka kutoka ghorofa ya nne @Francisontomwa #KTNLeoWikendi pic.twitter.com/y7yDz1oEcI
— ktn (@KTNKenya) January 20, 2019