K24 news anchor in mourning

Image result for ahmed bhalo

K24 swahili news anchor Ahmad Juma Bhalo, is in mourning after he lost a man he saw as a father who was his friend, father and namesake.

Bhalo disclosed that the late Ahmad who gave him the name Ahmad passed on after being ill for a while. The late Ahmad Juma Bhalo was laid to rest at Wakilindini area in Ganjoni, Mombasa.

View this post on Instagram

Nasikitika kutangaza kifo cha ami yangu, babangu na somo yangu (yeye ndiye aliyenipa jina Ahmad), Ustadh Ahmad Nassir Juma Bhalo maarufu Malenga wa Mvita kilichotokea mapema leo mtaani Kuze, Mombasa. Ustadh Juma Bhalo aliaga dunia baada ya kuugua maradhi ya mapafu kwa muda. Atakumbukwa na wapenzi wa lugha teule ya Kiswahili kutokana na mchango wake kupitia tasnia ya utunzi wa mashairi uliyompelekea kutwikwa vyeo vya Ustadh na Malenga. Mwendazake ataswaliwa kesho (Alhamisi) msikiti TSS Ganjoni baada ya swala ya alasiri na kuzikwa katika maziara ya Wakilindini eneo la Ganjoni, Mombasa. Allah amuweke pahali pema peponi. Ameen. #Anchoor001 #RIP #Swahili #Kiswahili #mashairi #ushairi #poetry #msanii #usanii #sanaa #oldtown #mombasa #mombasaraha #malindi #kilifi #lamu #kwale #pwani #kenya #afrikamashariki #afrika #eastafrica #africa

A post shared by Ahmed Bhalo (@ahmedbhalo) on

Nasikitika kutangaza kifo cha ami yangu, babangu na somo yangu (yeye ndiye aliyenipa jina Ahmad), Ustadh Ahmad Nassir Juma Bhalo maarufu Malenga wa Mvita kilichotokea mapema leo mtaani Kuze, Mombasa. Ustadh Juma Bhalo aliaga dunia baada ya kuugua maradhi ya mapafu kwa muda. Atakumbukwa na wapenzi wa lugha teule ya Kiswahili kutokana na mchango wake kupitia tasnia ya utunzi wa mashairi uliyompelekea kutwikwa vyeo vya Ustadh na Malenga. Mwendazake ataswaliwa kesho (Alhamisi) msikiti TSS Ganjoni baada ya swala ya alasiri na kuzikwa katika maziara ya Wakilindini eneo la Ganjoni, Mombasa. Allah amuweke pahali pema peponi. Ameen.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *